Thursday, September 11, 2014
Tuesday, August 19, 2014
Tuesday, August 12, 2014
Thursday, July 31, 2014
SIKILIZA RIPOTI YA HALI YA HAKI ZA BINADAMU KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA JANUARI – JUNI 2014
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI - HALI YA HAKI ZA BINADAMU KWA KIPINDI CHA
NUSU MWAKA
JANUARI
– JUNI 2014
Ndugu
waandishi wa habari
Kituo
cha Sheria na Haki za Binadamu, kinaendeleza utaratibu wake wa kila
mwaka wa kutoa tathmini ya hali ya haki za binadamu kwa kipindi cha
miezi sita. Tathmini hii hufanywa kwa malengo ya kutoa muelekeo wa
hali ya ulinzi na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Taarifa
hizi ni matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanywa na Kituo cha Sheria
na Haki za Binadamu, ufuatiliaji wa ukiukwaji wa haki za binadamu,
pia taarifa mbali mbali toka kwa waangalizi wa haki za binadamu,
wasaidizi wa kisheria, taarifa rasmi toka taasisi za Serikali, Bunge,
Mahakama, vyombo vya habari na asasi mbali mbali zisizo za
kiserikali.
Wednesday, July 30, 2014
SIKILIZA KIPINDI CHA MLINZI WA HAKI - Kuchambua Sura ya Kwanza Mambo ambayo Hayakuguswa na Bunge la Katiba
WASIKILIZE
Prof Paramagamba akielezea asili ya jina la Tanzania
Prof Paramagamba akielezea asili ya jina la Tanzania
HAROLD SUNGUSIA akidadavua neno nchi
Mwal hayati Nyerere alihamasisha ulinzi wa katiba
Prof Ruth Meena achambua Tunu za Taifa, Watu na Ardhi
Dr.Aidani Msafiri anachambua Tunu za Taifa, Watu na Ardhi na
Shehe Mustafa Rajabu akifafanua Ukuu na utii wa katiba
Monday, July 28, 2014
SIKILIZA MDAHALO - NI NANI ANAKWAMISHA KUPATIKANA KATIBA MPYA TANZANIA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira akiwakilisha CCM, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, jana walitoana jasho katika mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na East African Business and Media Institute.
Mdahalo huo uliohudhuriwa na watazamaji wapatao 500, ulikuwa na mada inayosema: ‘Nani anakwamisha Upatikanaji wa Katiba Mpya.’ Kila upande ulitumia fursa hiyo kutupa shutuma kwa mwingine huku jazba na kelele vikitawala miongoni mwa waliohudhuria.
Wednesday, July 16, 2014
Maoni ya Wananchi kurejea tena Bunge la katiba Mwezi Agosti
Mwezi Agosti ni mwezi unaotazamwa na kila jicho la Mtanzania kama Mwezi wa Mwanzo mpya wa Upatikanaji wa Katiba Mpya Ya Tanzania. Je Wananchi wana mtazamo gani? Sikiliza Makala Hii.
Monday, July 14, 2014
SIKILIZA mtazamo wa jamii juu ya Unyanyasaji katika Ndoa
Jamii inamtazamo gani juu ya Ndoa? Je Ndoa ni kitu cha kuvumilia hata pale kunapokuwa na ukatili? Sikiliza Mtazamo wa wakongwe.
Kila jumanne kutoka
Redio One Stereo
MLINZI WA HAKI
Redio One Stereo
MLINZI WA HAKI
Subscribe to:
Posts (Atom)